SPEECH BY THE VICE CHANCELLOR PROF. ISAAC O. KIBWAGE DURING THE HANDING OVER OF REHABILITATED SITES ALONG THE NJORO RIVER, PART OF MAU FOREST ECOSYSTEM VENUE: ENTIYIANI, NAROK NORTH DATE: FRIDAY, 23RD FEBRUARY 2024
SPEECH BY THE VICE CHANCELLOR PROF. ISAAC O. KIBWAGE DURING THE HANDING OVER OF REHABILITATED SITES ALONG THE NJORO RIVER, PART OF MAU FOREST ECOSYSTEM VENUE: ENTIYIANI, NAROK NORTH DATE: FRIDAY, 23RD FEBRUARY 2024
Bwana Chansela wa chuo hiki, Daktari Narendra Raval Waziri wa Elimu, Mheshimiwa Ezekiel Machogu,
Katibu katika wizara, Idara ya Elimu ya juu na Utafiti, Daktari Beatrice Inyangala,
Waheshimiwa Mawaziri wengine, Maseneta, Wabunge na viongozi wa tabaka mbalimbali kutoka serikali kuu na serikali ya kaunti walioko hapa.
Nataka kuchukua nafasi hii kumtambua kwa heshima Seneta wa Marsabit, Mheshimiwa Mohamed Chutè, ambaye pia ni seneta wangu na rafiki yangu, yupo hapa na sisi leo, kusherehekea kufuzu kwa mwanawe Nur Mohamed Chute leo anayehitimu katika masomo ya udaktari na upasuaji. Karibu mheshimiwa seneta. Asante kwa kuja na kujumuika nasi. Jihisi, kama uko nyumbani.
Wanachama wa halmashauri inayosimamia chuo hiki, ambayo mimi ndiye mwenyekiti,
Chancellor, Egerton University, Dr Narendra Raval (Guru)
The Cabinet Secretary, Ministry of Education, Hon. Ezekiel Machogu
The Principal Secretary, State Department for Higher Education & Research, Ministry of Education, Dr Beatrice Inyangala
Chairman, Egerton University Council, Amb. Dr Hukka Wario
Chairpersons of Councils of other Universities
Cabinet Secretary, Ministry of Education, Hon. Ezekiel Machogu
Principal Secretary, State Department for Higher Education & Research, Dr Beatrice Inyangala
Chancellors of other Universities
Chairman, Egerton University Council, Dr Amb. Dr Hukka Wario
Council Members, Egerton University